2:21:00 AM

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
...
5:46:00 AM

Normal
0
false
false
false
EN-US
X-NONE
X-NONE
...
7:22:00 PM

Tarehe : 14/03/2014
Somo : Kutoka Katika Nchi ya Utumwa Na Snp. Mwangasa (Ufufuo
Na Uzima, Moshi)
SNP Mwangasa akifundisha neno
Kutoka->14:13-14
“Musa akwaambia watu msiogope,simameni tu,mkauone wokovu wa
BWANA atakaowafanyia leo kwa maana hao wamisri mliowaona leo hamtawaona tena
milele. BWANA atawapigania ninyi, Nanyi
Biblia inasema wana wa Israeli wakamlilia Musa wakiwa
wamejaa hofu kuwa maisha yao
yataangamia,Musa...
4:39:00 PM

JE, MUOTA NDOTO ANAWEZA KUFA KABLA YA NDOTO YAKE KUTIMIA? Na AP
Hosea Shaban
Tarehe : 13-Mar-2014
AP Hosea Shaban
Mwanzo->45:1-9
Hapo Yusufu hakuweza kujizuia mbele yao wote
waliosimama karibu naye. Akapiga kelele, na kusema, Mwondoeni kila mtu mbele
yangu. Wala hakusimama mtu pamoja naye, Yusufu alipojitambulisha kwa nduguze. Akapaza
sauti yake akalia, nao Wamisri wakasikia. Watu wa nyumba ya Farao nao
wakasikia.
Majeshi...
9:09:00 AM

IMANI ITENDAYO KAZI Na SNP MWANGASA (Ufufuo na Uzima, Moshi)
Tarehe : 29/4/2012
SOMO: IMANI ITENDAYO KAZI..
i) UTANGULIZI
Luka 17:11, hii na habari ya watu 10 waliokuwa na ukoma ambao walimwendea Yesu
ili awaponye, na Yesu akawaambia nendeni mkajinyeshe kwa makuhani. Na wakati
wakiwa njia kwenda huko wakakutana na uponyaji wao na wote wakatakaswa.
Tunaweza kujifunza mambo kadhaa
kuhusu hii habari, kwa kipindi kile wakoma ni watu waliohesabika...
7:41:00 AM

MTU WA IMANI
Na Mch. MWANGASA (Snp, Ufufuo na
Uzima, Moshi)
Tarehe : 9/12/2012
Snp Mwangasa
Utangulizi :
Warumi 4:13; Ibrahimu aliitwa na Mungu kutoka nchi aliyokuwepo
(Uru ya wakaldayo), Mungu akamuahidi kuwa atakuwa baba wa mataifa (uzao wake
kama mchanga wa bahari). Lakini ikapita miaka bila Ibarahimu kupata mtoto, na
kwa hali ya kawaida angeweza kukata tamaa.
Kupitia habari hii, tunajifunza mambo matatu:-
1.
Ibrahimu...