GLORY OF CHRIST

Genesis 1:28. God blessed them and said to them, “Be fruitful and increase in number; fill the earth and subdue it. Rule over the fish in the sea and the birds in the sky and over every living creature that moves on the ground..

Waumini wa Kanisa la Ufufuo Na Uzima Moshi

Kutoka->14:13-14 (Kutoka Katika Nchi ya Utumwa Na Snp. Mwangasa)

Thursday, March 20, 2014

NYUMBA YA UFUFUO NA UZIMA (MOSHI) 19tar03/2014 Somo:TENA NASEMA FURAHINI Na Ap HOSEA

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Saturday, March 15, 2014

NI MKESHA MKUBWA NDANI YA NYUMBA YA UFUFUO NA UZIMA (MOSHI)

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Thursday, March 13, 2014

Kutoka Katika Nchi ya Utumwa Na Snp. Mwangasa (Ufufuo Na Uzima, Moshi)

Tarehe : 14/03/2014 Somo : Kutoka Katika Nchi ya Utumwa Na Snp. Mwangasa (Ufufuo Na Uzima, Moshi) SNP Mwangasa akifundisha neno  Kutoka->14:13-14 “Musa akwaambia watu msiogope,simameni tu,mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo kwa maana hao wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.   BWANA atawapigania ninyi, Nanyi Biblia inasema wana wa Israeli wakamlilia Musa wakiwa wamejaa hofu kuwa maisha yao  yataangamia,Musa...

Wednesday, March 12, 2014

JE, MUOTA NDOTO ANAWEZA KUFA KABLA YA NDOTO YAKE KUTIMIA? Na AP Hosea Shaban

JE, MUOTA NDOTO ANAWEZA KUFA KABLA YA NDOTO YAKE KUTIMIA? Na AP Hosea Shaban Tarehe : 13-Mar-2014 AP Hosea Shaban  Mwanzo->45:1-9  Hapo Yusufu hakuweza kujizuia mbele yao wote waliosimama karibu naye. Akapiga kelele, na kusema, Mwondoeni kila mtu mbele yangu. Wala hakusimama mtu pamoja naye, Yusufu alipojitambulisha kwa nduguze. Akapaza sauti yake akalia, nao Wamisri wakasikia. Watu wa nyumba ya Farao nao wakasikia. Majeshi...

IMANI ITENDAYO KAZI Na SNP MWANGASA (Ufufuo na Uzima, Moshi)

IMANI ITENDAYO KAZI Na SNP MWANGASA (Ufufuo na Uzima, Moshi) Tarehe : 29/4/2012 SOMO: IMANI ITENDAYO KAZI.. i) UTANGULIZI Luka 17:11, hii na habari ya watu 10 waliokuwa na ukoma ambao walimwendea Yesu ili awaponye, na Yesu akawaambia nendeni mkajinyeshe kwa makuhani. Na wakati wakiwa njia kwenda huko wakakutana na uponyaji wao na wote wakatakaswa. Tunaweza kujifunza mambo kadhaa kuhusu hii habari, kwa kipindi kile wakoma ni watu waliohesabika...

MTU WA IMANI Na Mch. MWANGASA (Snp, Ufufuo na Uzima, Moshi)

MTU WA IMANI Na Mch. MWANGASA (Snp, Ufufuo na Uzima, Moshi) Tarehe : 9/12/2012 Snp Mwangasa  Utangulizi : Warumi 4:13; Ibrahimu aliitwa na Mungu kutoka nchi aliyokuwepo (Uru ya wakaldayo), Mungu akamuahidi kuwa atakuwa baba wa mataifa (uzao wake kama mchanga wa bahari). Lakini ikapita miaka bila Ibarahimu kupata mtoto, na kwa hali ya kawaida angeweza kukata tamaa. Kupitia habari hii, tunajifunza mambo matatu:- 1.    Ibrahimu...

Prayers (Andika Maombi yako Hapa)

Name

Email *

Message *

Sponsor

Kama unapenda kuchangia Huduma Yetu Tafadhali wasiliana nasi